Diamond Platnumz - Zilipendwa Lyrics
[Diamond Platnumz:]
Oooh hizo ni zama za kale
Oooh Sangulo na pepe kale
Zilipendwa
Eh! Kizamani,kutoa card na maua (zilipendwa)
Wanataka money ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani,sio maguvu kujikwamua (zilipendwa)
Unafika ndani,hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo wanataka mikakati
Ukiwa mzugaji haki ya mungu huwapati (zilipendwa)
Mapenzi ya video yatakutoa kamasi
Eti nikinywa maji nakuona kwenye glass (zilipendwa)
Eeh! kupiga chabo getto (zilipendwa)
Mkono na dettol (zilipendwa)
Majay na Mobeto (zilipendwa)
[Diamond Platnumz:]
Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na Pepe kale
Mmm boringo ndombolo (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Na maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa Morogoro (zilipendwa)
[Rich Mavoko:]
Mtaani sipati sukari guru kabisa (zilipendwa)
Hivi yuko wapi Mb Dogg wa Latiffa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifa (zilipendwa)
Siku hizi party hatuendagi Ibiza (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu na Nyerere (zilipendwa)
Asha Ngedere (zilipendwa)
Harusi mabele (zilipendwa)
Eeeti Uuze nyumba uweke heshima bar
Eeeti Ulazimishe aliyekukataa
Sabuni Kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya Cinema (zilipendwa)
Lipumba na Mrema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)
[Diamond Platnumz:]
Ooooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm Aggy na sogi dogg (zilipendwa)
Chanel analog (zilipendwa)
Movie za saibog (zilipendwa)
Van Damme Arnold (zilipendwa)
[Queen Darleen:]
Una nibeep nikupigie umeiweka vocha (haloo)
Ule wewe nilipe mie umeniona Loffa
Teena na madada wenye majina acheni visa
Unaitwa ukale dinner mnakwenda Tisa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)
[Diamond Platnumz:]
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm Amitabh Bachchan (zilipendwa)
Tv kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvany (zilipendwa)
Zai Ivan (zilipendwa)
[Harmonize:]
Yanini kunichunguza naishi wapi (zilipendwa)
Nala,chapati kwa maini au makapi (zilipendwa)
Kutwa kunikalia chini unda kamati
Oh ya Rabi masikini kuni dhihaki
Ah Samba Mapangala (zilipendwa)
P Funk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Rufufu mkandala (zilipendwa)
Vya nini vidomo domo tutupiane tunguli
Kisa pesa za mkopo msimu wa Magufuli
Ah, Bongoman yondo (zilipendwa)
Sikinde Msondo (zilipendwa)
Magari ya Udongo (zilipendwa)
Babu wa Loliondo (zilipendwa)
[Diamond Platnumz:]
Ooooh hizo ni zama za kale (zilivumaga sana)
Ooooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Ah Tv za kichogo (zilipendwa)
Wakina Man Dojo (zilipendwa)
Aggy na Iyobo (zilipendwa)
Akina Hatupogo (zilipendwa)
[Mbosso:]
Eti msiba ukiona Bundi unataka kupagawa
Tulale makundi makundi kuogopa popo bawa
Zuwena nitampata wapi (zilipendwa)
Zuwena wa zile nyakati eh (zilipendwa)
Kujifanya mapanga sunna eti wamepinda
Wengine wabeba vyuma na hakuna marinda
Iddi Amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H Baba (zilipendwa)
Domo Chai Jabba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)
[Lava Lava:]
Wale wapiga madeal sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za Magufuli si za Jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr.Nice na Dudu Baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madenge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu Mr. Bean, wapi bambo (zilipendwa)
Wale wazamiaji wale wa melini wazee wa ng'ambo
Hivi yuko wapi Banjamini wa Mambo Jambo
Wa Vietnam waporini vita na Rambo
Eh ndanda Mjela jela (zilipendwa)
Kidali Kombolela (zilipendwa)
Max na Zembwela (zilipendwa)
Juma Nature na fela (zilipendwa)
[Diamond Platnumz:]
Ooooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm kamanda Daz Nunda (zilipendwa)
Kalumanzila Ndumba (zilipendwa)
Simu za Dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)
[Rayvanny:]
Wasafiiiii!
[Diamond Platnumz:]
Zilipendwa, zilipendwa
Zilipendwa, zilipendwa
[Harmonize:]
Ohleelileeee lelelilee
Zilipendwa
Other Lyrics by Artist
- Diamond Platnumz - Zilipendwa
- Diamond Platnumz - Moyo Wangu
- Diamond Platnumz - Mbagala
- Diamond Platnumz - Mawazo
- Diamond Platnumz - Mapenzi Basi
- Diamond Platnumz - Make Me Sing
- Diamond Platnumz - Lala Salama
- Diamond Platnumz - Kwanini?
- Diamond Platnumz - Kanyaga
- Diamond Platnumz - Kamwambie
- Diamond Platnumz - Nataka Kulewa
- Diamond Platnumz - Niache
- Diamond Platnumz - Utanipenda
- Diamond Platnumz - Upofu
- Diamond Platnumz - Ukimwona
- Diamond Platnumz - The One
- Diamond Platnumz - Sound
- Diamond Platnumz - Sikomi
Rand Lyrics
- Chrissie Hynde - Que reste-t-il de nos amours?
- Chris Stapleton - Traveller
- Chris Stapleton - Fire Away
- Chris Stapleton - Tennessee Whiskey
- Chris Stapleton - Parachute
- Chris Stapleton - Whiskey And You
- Chris Stapleton - Nobody To Blame
- Chris Stapleton - More Of You
- Chris Stapleton - When The Stars Come Out
Last Posts
Beyonce Shakes the Internet with Surprise Super Bowl Tease and New Music Release
Beyoncé once again set the digital world abuzz with her latest musical surprise. In an unforgettable move during the Super Bowl, a Verizon commercial served...
Watch Usher’s Full Super Bowl 2024 Halftime Performance Usher, Alicia Keys, Jermaine Dupri, Ludacris,
At the 2024 Super Bowl, Usher redefined the halftime show with a dazzling, career-highlight performance that will be remembered for years to come. Taking the...
Usher Unveils ‘Coming Home’: A Journey Through Sound and Soul in His Latest Album
Spanning three decades in the music industry, Usher has consistently mesmerized fans with his soulful tunes and magnetic performances. However, his most recent project, Coming...
Diamond Platnumz Zilipendwa Comments
🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
H baba utakonda sana,imebidi niungalue tena wimbo huu,mbona hujaimbwa vibaya,tena mwanao Diamond kajitahidi kweli.hata yeye mwanao Diamond kajiimba.acha njaa,DIAMOND KAZA UZI MAADUI WAMEONGEZEKA,LAKINI HATUWRZI TUNAKUPENDA MPAKA TUNAUMWA PIGA KAZI,DIAIBD BABA LAO
From Congo Kinshasa, watching 2020
aliyekuja hapa baada ya h mama tujuane
2020 woiiiiiiiiiiiiiiiii
2020 bado tuko kwa zilipendwa
Kama umeiangalia hii 2020 like plz. Tuende sawa.
Kama umeitzama hii ngoma 2020 gonga like twende sawa
ningekuwa na Maamuzi juu yenu msingetengana, mmependeza kuwa pamoja
Nani yuko na Mimi 2020 Gonga like tuwe p1.
*Who is here 2020 like me thumb up👍👍🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇰🇪🇰🇪*
Kevoh Wa Pipeline Transami 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
2020 tuko hapa
Kama Umefaham #2019 ni zile zama zilipendwa! Sa hivi #2020 weka likes.....!
Who's here 2020
Diamond na Wema zilipendwa......hahaha
2020 still here
I loved this group..
Nani yko apa 2020
GONGA LIKE KAMA BADO UNAITAZAMA 2020🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
December 2019
Stil watching this 2019 and loving it
My wife didn't want me to play this song because the ex was playing this song and lucky dude but I am an African I can't stop it I love my African music I will let her go I stay with my African music
Naliona lisnitch limebeba fuko la rambo
I just love the vocals here
Yebooo 🕺🏾💃🏽🕺🏾🕺🏾love from🇿🇦🇿🇦 🇿🇦
I love this music so much even though I don’t understand a thing they’re saying, just the fact that it has all my favorite singers in it. One love ❤️ from the USA 🇺🇸.
Zilipendwa means lifestyle, Celebrities, fashions and things which was very popular long time ago but no more used or loved at this time. That is why you see the kind of clothes they wore, and you here that they mentioned some celebrities of long time ago like, Yondo Sister, Ndombolo Music etc. Many things and Stuff mentioned are those which popular in our local life but in shot that was the Theme of the Word Zilipendwa.
EDNA EXAUDI Thank you kindly 😘😘
Harmonize na mavoko zilipendwa
Kama bado utakua hpa 2020 tujuane kwa kugonga tu kalike, wakenya hoyeeeeeeee
Hoyeeeee
Hahaha nko hapa kufunga mwaka tarehe 24 ... Haya nipeni likes tulo sotee
Zilipendwaaaa
Wwwwww i I Love you
mavoko na harmo zilipendwaa
everytime when i am sad i just watch this song na najipata tu nacheka
Anyone here December 2019?
Nani anaangalia hii video ya zilipendwa December 2019
Huu wimbo ulikuwa dope
https://mdundo.com/song/1574780?fbclid=IwAR0Sp4UHs4SjRPwgWCvW8SoNqauUQz5AXVPK8vFN2QY8UDgr95ppTS1uFmM
I'm still watching it even at the moment
Wcb was looking amazing by then....it look good still...wcb for life
Tuko our colour our pride,utamu unazidi
Décembre 2019
kweli darling ndiye queen wa ukweli big love from kenya ( zangu lo mapepe kale🎼🎼🎼) kama unakubali queen weka like
Zilipendwa
*ETI MKIGOMBANA NA WIFE AKAKUSANYA VITU VYAKE AONDOKE, NI LAZIMA ACHUKUE NA HOUSE GIRL AU?*
😁😁😁 2020
Wangapi wanaangalia hili 2019 mwezi12
Ya nini kunichunguza naishi papi!!!! Yap lyk it
2019 tumekuja leo
Enjoying from himashal Pradesh India❤️❤️
Nzur xana I like
Harmonize na Dai zilipendwa 2019😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Umeuwaaa😀😀
Majey na Mobetto zilipendwa😅😅😅😂😂😂😂😂😂
kama umeangalia mwaka 2019 gonga like apa
Diamond na.zari.zilipendwa🤣
Kama umeianalia hii ngoma 2019 Nov angusha k apa
Oqiq wt wu wy e wy uq ta wt su ay wy qui it eey wj uq hqu6wu uquque et ywyquuu889 RSSwqureei ouqauaiiaoqu trae eei uwyw ywrwyquyu yuquqqqt eeey w wt yqyqu JW et wt wy wuwyw yae wy ueayy eyu u eqhayeeey quauq 8ewiey uqqyqyu ur_yy yayqt duh auyayuyuque wt uauq hay qiuqaaiau eei ajqyiaiauq two qiqi yui auja
I love this music ,which language is this ?from a Gambian
Harmoniz konde boy #zilipendwa
decemba 3.2019
Nani yuko hapa décembre 2019🎶🎶
Lazima tukumbukeko
Dah kama unaamin kua jeshii aliua sambaza like akoo 2wende saawa#2019
KONDE BOY we miss you in WCB bro
We are almost getting to 2020 na bado narudi apa kwa hii ngoma tu, tuko wangapi jameni?
Ça veut dire quoi "zilipendwa" svp.
dec 1 2019🙋♂️
Maisha yamekwenda kwa kasi sana aisee 2019 mambo yamekuwa tofauti sana
I watched this music video thousand times😍😍😍
dah zilipendwa 😂😂😂😂
I love the language... Oh sweet Africa 💖
🇺🇬❤
Natoka hapa kwenda kumtafuta Benjamin Mambo Jambo na Hard Mad...2019 Nov 28.
Me 2019 nov
Sportpesa na betin kenya zilipendwa. Kencel na zain zilipendwa nameless na k rupt na wa-who zilipendwa. Hahaha
Still enjoying the vibe November 2019😍😍😍
Dah nikisikia sauti ya harmonize najiona ndo mim
Who's watching in in November 2019🎼🎶🔉🎧😍😎
Still sweet
boys 👌👌👌🤘🙋♂️😍🤞
harmonizee wah....konde 2019 november hapa
Part ya mavoko ni moto.🔥🔥🔥🔥🔥
Kutombana
a rush a
Love you Diamond so much Love : )
Yani nmecheka uyo mboto alivomvizia rajabu
Noma sana hii ngoma
Imagine this song is still young,,,, send your conversation thru nikupashe yaliyomo, Kenya Tanzania,Uganda burundi,, [email protected]
Kanileta huku konde boy wpah
😁😀😀😀😀
Full fani vijana napenda sana kazi zenu na jinsi ambavyo mnashirikiana.
Wale wanaongalia hii ngoma mwaka 1993 gonga like apa
Nimemchungulia darleen nikaona kitu
J’adore
Am from Namibia 🇳🇦 I love this song 😍
Zilipendwa
Kama uko hapa 2020....piga like